ccmmorogoro

Kurasa

  • HOME
  • UVCCM
  • UWT
  • WAZAZI
  • WABUNGE
  • MAWASILANO
  • WAASISI/CCM
  • VIONGOZI MORO

Ijumaa, 31 Mei 2013

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AWASILI WILAYANI MAKETE

1 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Makete Bi Josephine Matiro mara baada ya kuwasili mpakani mwa Wilaya za Njombe na Makete  na ujumbe wake tayari kwa kuanza ziara katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo leo asubuhi PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-MAKETE NJOMBE
1A 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Makete Bi Josephine Matiro kuingia kwenye chumba cha mkutano tayari kwa kupokea taarifa ya wilaya2 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na maafisa mbalimbali wa chama na serikali mara baada ya kuwasili wilayani Makete leo asubuhi.
Posted by Bila jina at 07:00
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mh Dr Jakaya Kikwete

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi
Mh Abdurahman Kinana

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini
Mh Innocent Kalogeris

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro
Mh Romuli John

Kumbukumbu la Blogu

Machapisho Maarufu

  • WAZIRI MKUU AWAHAKIKISHIA WAHANGA WA MAFURIKO UHAKIKA WA DAWA NA CHAKULA
     Waziri mkuu Mizengo Pinda akitembelea eneo la Dumila ambako daraja limekatika na kusababisha kukosekana kwa mawasiliano  kati ya Dodoma ...
  • MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AFUNGA KAMBI YA UVCCM
     Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini Mohamed Aziz Abood  Akimkabidhi cheti Kada UVCCM Wilaya ya Morogoro mjini CCM,Wakati wa kufunga kambi ...
  • MANISPAA MORO YASAINI MKATABA WA KUTENGENEZA BARABARA ZA RAMI
    MANISPAA MORO YATIA SAINI MKATABA WA MABILIONI YA FEDHA UKARABATI WA BARABARA KWA KIWANGO CHA RAMI  Meya wa manispaa ya Morog...
  • MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHANI MSIBA WA MZEE ALLY SYKES JIJINI DAR LEO
     Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya msiba w...
  • KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AKUTANA NA BALOZI WA CANADA NCHINI MHE ALEXANDRE LEVEQUE LEO
    Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto) katika mazungumzo na Balozi wa Canada nchini Tanzania Mhe Alexandre Leveque aliyemtemb...
  • TANGAZO LA KAZI KUTOKA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
    Sekretarieti ya Ajira kwa niaba ya Tanzania Dairy Board, Tanzania Institute of Accountancy, College of Business Education, National In...
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, Asha Balozi na Wake wa Wabunge na Wawakilishi wa CCM watoa mchango wao kwa WanaCCM Kaskazini Unguja.
    MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi mifuko ya saraju na fedha tasilim...
  • KINANA AITEKA KIBAHA KIJIJNI, WANANCHI WAFURIKA KUMTEGEA MASIKIO YAO!!!
    Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kibaha Kijijini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mtongani ambapo aliwaam...
  • WAJUMBE WA BARAZA LA UWT MKOA WA MOROGORO.
    Wajumbe wa baraza la jumuiya ya umoja wa wanawake UWT mkoa wa Morogoro katika mkutano wa baraza hilo uliofanyika Novemba 29 katika ...
  • TBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
     Kaimu mkuu wa mkoa wa Morogoro ambaye ni mkuu wa wilaya ya Mvomero, Anthony Mtaka akikabidhiwa zawadi ya fulana  na Mkurugenzi wa uhusi...

Orodha Yangu ya Blogu

  • CCM Blog
    RAIS SAMIA AWASILI NCHINI ANGOLA - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Mhe. Tete Antonio baada ya kuwasili...
    Saa 10 zilizopita
  • JIACHIE
    Rais wa Zanzibar Ajumuika na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Ibada ya Sala ya Ijumaa , Ashiriki Sala ya Jeneza ya Marehemu Sheikh Abdullah Hamid Suleiman - Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Ibada ya Sala y...
    Saa 11 zilizopita
  • JUMA MTANDA
    MAISHA YA MWANASOKA HODARI, PELE NA MAISHA NJE YA SOKA YANASIKITISHA ! - Na Geofrey Chambua. Kwa watu wengi, Pele ni mchezaji bora zaidi kuwahi kushuhudiwa katika uwanja wa kandanda, na siyo bure kwamba walimpa jina la utani ka...
    Miaka 8 iliyopita
  • AUDIFACE JACKSON - OFFICIAL BLOG
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 8 iliyopita
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync - How many times have you wanted to plug your iPad into your computer to charge but you didn’t want to deal with the interruption that syncing causes to wh...
    Miaka 10 iliyopita
  • INNOCENT KALOGERIS
    CCM YAMTEUA RIDHIWAN KIKWETE KUWA MGOMBEA JIMBO LA CHALINZE - [image: cccm_7bdac.png]
    Miaka 12 iliyopita
  • Nkoromo Blog
    -

Wachangiaji

  • Jason
  • Unknown
  • ccmmorogoro
AJ IT DEVELOPMENT .CO.LTD. Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.