ccmmorogoro

Kurasa

  • HOME
  • UVCCM
  • UWT
  • WAZAZI
  • WABUNGE
  • MAWASILANO
  • WAASISI/CCM
  • VIONGOZI MORO

Ijumaa, 31 Mei 2013

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AWASILI WILAYANI MAKETE

1 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Makete Bi Josephine Matiro mara baada ya kuwasili mpakani mwa Wilaya za Njombe na Makete  na ujumbe wake tayari kwa kuanza ziara katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo leo asubuhi PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-MAKETE NJOMBE
1A 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Makete Bi Josephine Matiro kuingia kwenye chumba cha mkutano tayari kwa kupokea taarifa ya wilaya2 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na maafisa mbalimbali wa chama na serikali mara baada ya kuwasili wilayani Makete leo asubuhi.
Posted by Bila jina at 07:00
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mh Dr Jakaya Kikwete

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi
Mh Abdurahman Kinana

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini
Mh Innocent Kalogeris

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro
Mh Romuli John

Kumbukumbu la Blogu

Machapisho Maarufu

  • MEYA MANISPAA YA MORO, ATAHADHARISHA WANAOKAIDI KUBOMOA MAJENGO YAO KATIKA HIFADHI ZA BARABARA
       Meya wa Mansipaa ya Morogoro Amiri Nondo akikagua baadhi ya maeneo yaliovunjwa kwaajili ya kupisha ujenzi wa barabara ya Kit...
  • Mamlaka ya mapato Tanzania –TRA mkoa wa Singida yakusanya mapato ya zaidi ya shilingi bilioni mbili.
    Afisa habari wa TRA mkoa wa Singida Bw. Zacharia Gwagilo akitoa mada yake iliyohusu matumizi ya mashine za kodi (EFDs) kwa wafanyabias...
  • MUME NA MKE MBARONI KWA KUMFICHA MTOTO NDANI YA BOX MIAKA 4, IMANI ZA KISHIRIKINA ZATAWALA MORO
     Maria Said mama mkubwa wa Nasra, katikati ni  baba mzazi wa Nasra, Rashidi Mvungi, na kulia ni mume wa Mariam Said wakiwa kati...
  • MGOGORO WA ARDHI WAZUKA TENA MVOMERO, VITISHO VYATAWALA , WANANCHI WAPORWA MASHAMBA NA KUPEWA VIGOGO
    Michael Mayalla mwenyekiti kitongoji cha Majichumvi akiongea katika mkutano wa pamoja na wananchi wa kitongoji hicho, waliokutana kuja...
  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, DKT. SHEIN AREJEA ZANZIBAR KUTOKA CHINA
    NA RAMADHANI ALI /HABARI MAELEZO ZANZIBAR                           Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Muh...
  • ASKOFU MORO AOMBA MSAMAHA WA KODI YA VIFAA VYA AFYA
     Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera akizungumza katika uzinduzi wa kituo cha afya cha Mtakatifu Thomas kilichopo kata ya kil...
  • ZANZIBARA YAKUBALI MASHARTI YA MAZIWA MAKUU KUHUSU UBAKAJI
    Na Ali  Issa Maelezo  Zanzibar Baraza  la Mapnduzi Zanzibar limetoa Maamuzi  juu ya suala zima la Ubakaji kisini Zanzibar kwa kuyak...
  • RAIA WA BURUNDI MBARONI KWA KUKUTWA NA VIFAA VYA KUFANYIA MATUKIO YA UJAMBAZI MORO.
     Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Leonard Paul akionyesha kifaa kinachotumika na waharifu kwaajili ya kutega barabarani  kwaaji...
  • MZINGA YAJENGA KITUO CHA UTAFITI NA ULENGAJI SILAHA,
     Waziri wa ulinzi Dk Husein Mwinyi akiangalia samani zinazotengenezwa na shirika la Mzinga la mkoani Morogoro kwaajili ya matumizi ya s...
  • MWILI WA MAREHEMU METHOD MENGI KUWASILI JUMATANO UKITOKEA MAREKANI
    Marehemu Method Mengi Mke wa Marehemu katikati akiwa na majonzi Vitu vilivyotolewa na Watanzan...

Orodha Yangu ya Blogu

  • JIACHIE
    RAIS MSTAAFU DKT KIKWETE AMPONGEZA MTANZANIA ALIYENG'ARA CHUO KIKUU CHA HAVARD NCHINI MAREKANI KWA KUSHINDA TUZO YA TESSA JOWELL FOUNDATION - Bi. Ngasuma Eva Kanyeka, mwanafunzi wa Kitanzania wa Shahada ya Uzamivu (PhD), aliyeshinda tuzo inayotolewa na Programu ya Uongozi wa Mawaziri ya Chuo...
    Siku 1 iliyopita
  • CCM Blog
    KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026 - Daraja la Nyerere lililozinduliwa na aliye kuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli Aprili 19, 2016. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Picha za Viongozi mba...
    Wiki 1 iliyopita
  • JUMA MTANDA
    MAISHA YA MWANASOKA HODARI, PELE NA MAISHA NJE YA SOKA YANASIKITISHA ! - Na Geofrey Chambua. Kwa watu wengi, Pele ni mchezaji bora zaidi kuwahi kushuhudiwa katika uwanja wa kandanda, na siyo bure kwamba walimpa jina la utani ka...
    Miaka 7 iliyopita
  • AUDIFACE JACKSON - OFFICIAL BLOG
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 7 iliyopita
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync - How many times have you wanted to plug your iPad into your computer to charge but you didn’t want to deal with the interruption that syncing causes to wh...
    Miaka 10 iliyopita
  • INNOCENT KALOGERIS
    CCM YAMTEUA RIDHIWAN KIKWETE KUWA MGOMBEA JIMBO LA CHALINZE - [image: cccm_7bdac.png]
    Miaka 12 iliyopita
  • Nkoromo Blog
    -

Wachangiaji

  • Jason
  • Unknown
  • ccmmorogoro
AJ IT DEVELOPMENT .CO.LTD. Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.