ccmmorogoro

Kurasa

  • HOME
  • UVCCM
  • UWT
  • WAZAZI
  • WABUNGE
  • MAWASILANO
  • WAASISI/CCM
  • VIONGOZI MORO

Jumatano, 22 Mei 2013

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

IMG_1585 
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara  akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango  Gasper Mwembezi  wa wizara hiyo.IMG_1596 
Mbunge wa Kawe Mhe. Halima Mdee (CHADEMA ),pamoja na Mhe. Ester Bulaya (Viti Maalumu-CCM)) wakiingia bungeni leo.IMG_1604 
Waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na Manaibu Waziri kutoka Wizara mbalimbali wakisikiliza michango ya wabunge wakati wa kujadili bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na MichezoIMG_1625 
Naibu Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Mhe. Adam Malima akijibu  maswali ya wabunge bungeni leo.IMG_1656 
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Mhe. wasira akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo leo.IMG_3844 
Mhe. Michael Leizer (Longido),Mhe.Rita Kabati (Viti maalumu CCM) na Mhe. Deogratius Ntumazina(Ngara) wakiingia bungeni leo.IMG_3920Wabunge wakitoka katika ukumbi wa bunge baada ya kipindi cha asubuhi kumalizika
Posted by Bila jina at 10:09
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mh Dr Jakaya Kikwete

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi
Mh Abdurahman Kinana

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini
Mh Innocent Kalogeris

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro
Mh Romuli John

Kumbukumbu la Blogu

Machapisho Maarufu

  • KADA WA CCM AVAMIWA NA CHADEMA NA KUJERUHIWA TUNGI MORO
    KIMENUKA TUNGI, WAFUASI WA CHEDEMA WAWATWANGA CCM, MMOJA AJERUHIWA NA KULAZWA  Kada wa umoja wa Vijana ...
  • UVCCM YAMFAGILIA KIKWETE KWA MALEZI BORA, NI KATIKA UCHAGUZI MKUU WA CHIPUKIZI MORO
     Mwenyekiti wa umoja wa Vijana Taifa Sadifa Juma Khamis akifungua mkutano mkuu wa uchaguzi wa Chipukizi uliofanyika katika shule ya sek...
  • ANGALIA TASWIRA YA MECHI YA KIRAFIKI KATI YA MORO VETERAN NA TANGA VETERAN
     Manaodha wa Timu ya Moro Vetrani na Tnga Veteran  Wakiwa na Waamuzi wa Mchezo huo Uliofanyika Morogoro.  Timu hicho zilicheza Mchezo wa ...
  • SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA TAREHE 31 DESEMBA, 2013
    SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA, TAREHE 31 DESEMBA...
  • MAKONDA ANATUVURUGA UVCCM
     Mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi CCM kupitia kundi la vijana Jonas Nkya akisisitiza jambo wakati akiongea na waand...
  • RIDHIWANI ASHUHUDIA SHULE ILIVYOBAKI HOI BAADA YA KUEZULIWA PAA NA KIMBUNGA KATIKA KIJIJI CHA KIKWAZU, JIMBONI CHALINZE, AAHIDI KUSAIDIA KUIBORESHA TENA
      Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete  akipata maelezo kutoka kwa Mtendaji wa Kijij...
  • TASWIRA YA KAMPENI ZA UCHAGUZI KATA YA MASANZO JIMBO LA MIKUMI
    Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi mkoa wa morogoro Mh Sixtus Mapunda Kushoto akiwa na mwenyekiti wa ccm wa wilaya ya kilosa Mh Nas...
  • KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AZUNGUMZA NA WANANCHI KATA ZA UKWAMA NA INIHO MAKETE
      Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa kata ya Iniho Wilayani Makete wakati alipotembelea ...
  • MVOMERO WATAKA MASHAMBA PORI 50 YAREJESHWE KWA WANANCHI
    MAKALA maalumu ya migogoro ya ardhi  wilayani Mvomero. WILAYA ya Mvomero ni miongoni mwa wilaya zinazokabiliwa na migo...
  • SERIKALI KUZICHUKULIA HATUA KALI HALMASHAURI ZISIZOTEKELEZA MIRADI YA MAJI
    Na Gladness Mushi,Arusha SERIKALI  imeziagiza  halimashauri zote nchini  kuhakikisha zinakamiliza utekelezaji wa ujenzi wa miundombinu ya...

Orodha Yangu ya Blogu

  • JIACHIE
    TRA DODOMA YATOA MKONO WA EID KWA WATOTO YATIMA, YAIMARISHA UPENDO NA MSHIKAMANO - Kaimu Meneja wa Mkoa wa TRA Dodoma, Bw. Obrey Sillayo, akiambatana na Kaimu Meneja wa Huduma kwa Mlipakodi pamoja na maafisa wengine wa Mamlaka ya Mapato...
    Saa 1 iliyopita
  • CCM Blog
    EID MUBARAK WADAU - TUNAWATAKIA EID MUBARAK WADAU WETU WOTE.
    Saa 2 zilizopita
  • JUMA MTANDA
    MAISHA YA MWANASOKA HODARI, PELE NA MAISHA NJE YA SOKA YANASIKITISHA ! - Na Geofrey Chambua. Kwa watu wengi, Pele ni mchezaji bora zaidi kuwahi kushuhudiwa katika uwanja wa kandanda, na siyo bure kwamba walimpa jina la utani ka...
    Miaka 7 iliyopita
  • AUDIFACE JACKSON - OFFICIAL BLOG
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 7 iliyopita
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync - How many times have you wanted to plug your iPad into your computer to charge but you didn’t want to deal with the interruption that syncing causes to wh...
    Miaka 10 iliyopita
  • INNOCENT KALOGERIS
    CCM YAMTEUA RIDHIWAN KIKWETE KUWA MGOMBEA JIMBO LA CHALINZE - [image: cccm_7bdac.png]
    Miaka 12 iliyopita
  • Nkoromo Blog
    -

Wachangiaji

  • Jason
  • Unknown
  • ccmmorogoro
AJ IT DEVELOPMENT .CO.LTD. Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.