ccmmorogoro

Kurasa

  • HOME
  • UVCCM
  • UWT
  • WAZAZI
  • WABUNGE
  • MAWASILANO
  • WAASISI/CCM
  • VIONGOZI MORO

Jumatano, 22 Mei 2013

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

IMG_1585 
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara  akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango  Gasper Mwembezi  wa wizara hiyo.IMG_1596 
Mbunge wa Kawe Mhe. Halima Mdee (CHADEMA ),pamoja na Mhe. Ester Bulaya (Viti Maalumu-CCM)) wakiingia bungeni leo.IMG_1604 
Waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na Manaibu Waziri kutoka Wizara mbalimbali wakisikiliza michango ya wabunge wakati wa kujadili bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na MichezoIMG_1625 
Naibu Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Mhe. Adam Malima akijibu  maswali ya wabunge bungeni leo.IMG_1656 
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Mhe. wasira akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo leo.IMG_3844 
Mhe. Michael Leizer (Longido),Mhe.Rita Kabati (Viti maalumu CCM) na Mhe. Deogratius Ntumazina(Ngara) wakiingia bungeni leo.IMG_3920Wabunge wakitoka katika ukumbi wa bunge baada ya kipindi cha asubuhi kumalizika
Posted by Bila jina at 10:09
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mh Dr Jakaya Kikwete

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi
Mh Abdurahman Kinana

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini
Mh Innocent Kalogeris

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro
Mh Romuli John

Kumbukumbu la Blogu

Machapisho Maarufu

  • VIJANA 30 WA AFRIKA KUSINI WAFURAHIA UHURU WA TZ
    Vijana 30  wa vyuo mbalimbali nchini Afrika Kusini wakiwa katika eneo la dakawa ilipokuwa kambi ya  ya waliokuwa wapigania uhuru k...
  • MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHANI MSIBA WA MZEE ALLY SYKES JIJINI DAR LEO
     Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya msiba w...
  • Mamlaka ya mapato Tanzania –TRA mkoa wa Singida yakusanya mapato ya zaidi ya shilingi bilioni mbili.
    Afisa habari wa TRA mkoa wa Singida Bw. Zacharia Gwagilo akitoa mada yake iliyohusu matumizi ya mashine za kodi (EFDs) kwa wafanyabias...
  • UTAFITI WA CHANJO YA UKIMWI MBEYA WAENDELEA
    NA MAGRETH KINABO- MAELEZO, DODOMA WAZIRI wa   Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa  utafiti  wa chanjo ya ...
  • UJUMBE WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA VIETNAM WATUA DAR ASUBUHI HII
     Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro akiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Uhusiano wa ...
  • JK ATANGAZA NEEMA KWA WAFANYAKAZI KATIKA SHEREHE ZA MEI MOSI MKOANI MBEYA
    Baadhi ya wafanyakazi wa Manispaa ya Dodoma wakifurahia wakati wa kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), Mjini Dodoma jana....
  • SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA TAREHE 31 DESEMBA, 2013
    SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA, TAREHE 31 DESEMBA...
  • RC IRINGA AAGIZA HALMASHAURI KUSIMAMIA FEDHA ZA MIRADI
    Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Chistine Ishengoma akizungumza wakati wa kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) mkoa wa Iringa kilichof...
  • KIKAO CHA WABUNGE NA WAWAIKILISHI WA CCM DODOMA
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk.Jakaya Mrisho Kikwete (katikati)Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Bar...
  • ANGALIA PICHA MANDELA AZIKWA KIJIJINI KWAO NA UMATI WA WATU 5000 AKIWEMO CLINTON, OPRAH AND PRINCE CHARLES
    Goodbye to an icon: Nelson Mandela's coffin is slowly lowered into the ground in the hills close to where he grew up at the small, ...

Orodha Yangu ya Blogu

  • JIACHIE
    MSHIKAMANO WA KITAIFA WAPEWA KIPAUMBELE KATIKA KIKAO CHA WAZIRI SANGU NA VYAMA VYA SIASA - Na. OWM (KAM), Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga na mshik...
    Saa 3 zilizopita
  • CCM Blog
    NMB YAPELEKA ELIMU YA FEDHA KWA MAELFU YA VIJANA - Benki ya NMB imesisitiza umuhimu wa kupeleka elimu ya fedha kwa umma sambamba na kupanua huduma rasmi za kifedha, ikisema ujumuishaji wa kifedha unahita...
    Siku 3 zilizopita
  • JUMA MTANDA
    MAISHA YA MWANASOKA HODARI, PELE NA MAISHA NJE YA SOKA YANASIKITISHA ! - Na Geofrey Chambua. Kwa watu wengi, Pele ni mchezaji bora zaidi kuwahi kushuhudiwa katika uwanja wa kandanda, na siyo bure kwamba walimpa jina la utani ka...
    Miaka 8 iliyopita
  • AUDIFACE JACKSON - OFFICIAL BLOG
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 8 iliyopita
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync - How many times have you wanted to plug your iPad into your computer to charge but you didn’t want to deal with the interruption that syncing causes to wh...
    Miaka 10 iliyopita
  • INNOCENT KALOGERIS
    CCM YAMTEUA RIDHIWAN KIKWETE KUWA MGOMBEA JIMBO LA CHALINZE - [image: cccm_7bdac.png]
    Miaka 12 iliyopita
  • Nkoromo Blog
    -

Wachangiaji

  • Jason
  • Unknown
  • ccmmorogoro
AJ IT DEVELOPMENT .CO.LTD. Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.