Jumatatu, 22 Aprili 2013

TASWIRA YA BURUDANI ZILIZOTAEWALA JANA MJINI MOROGORO






Tmk wanaume Family nao walikuwepo......wakiongozwa Chege Chigunda....


Qboy akiset Mipango kabla ya Rais wa wasafi kupanda kukiwasha stejini...
Dancers wa wasafi wakifurahi jambo kwa pamoja....!!

Si ndo zamu ya Wasafi ikafika kukinukisha Stejini.....

Bahada ya Diamond Kupanda steji ilikuwa haitoshi......



Mpera Mpera kama kawaida yake iwe usiku au mchana mwendo ule ule...






Yaniii......hadi raha ni step kwa step....kukonga nyoyo za mashabiki....
na wanachama wa ccm..



kwa kuringa ringa ndio wanadata....











wananchi wa Morogoro na wanachama wa CCM ....Tumeelewana..........???
yeeeess ...."

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...