Jumapili, 26 Januari 2014

MWENYEKITI WA CCM ATIKISA KAMPENI ZA UDIWANI KATA YA TUNGI MANISPAA YA MOROGORO

 Mgombea wa Udiwani Kata ya Tungi manispaa ya Morogoro Kupitia CCM Ndugu Mzeru Paulo Akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Mogogoro Mh Juliana Mwenda Wakiwa Katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Udiwani kata ya Tungi.Kata hiyo inafanya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani Baada ya Aliyekuwa Diwani Kata Hiyo Mh Mbao Mbao Kufariki Dunia Mwaka jana mara baada ya kusumbuliwa na Ugonjwa kwa Muda Mrefu.Uzinduzi Huo Umeambatana na Uzinduzi wa Sherehe za Chama cha Mapinduzi za Kutimiza Miaka 37.
 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro Na Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh Innocent Kalogeris Kulia akiwa na Katibu wa CCMwilaya ya Morogoro Katikati Pamoja na Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro Mh Romuli John leo wakati wa Uzinduzi wa Kampeni za Udiwani Kata ya Tungi.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi Mkoa wa Morogoro Mh Doroth Mwamsiku Aliyevaa Kofia Nyeusi Akiwa Pamoja na Mgombea wa Udiwani Kata ya Tungi manispaa ya Morogoro Kupitia CCM Ndugu Mzeru Paul

 Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake Mkoa wa Morogoro na Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Morogoro Mh Mariam Kyaman Kushoto Akiwa na Mbunge wa Viti Maalum Kupitia Umoja wa Vijana Mkoa wa Morogoro Mh Sara Msafiri
 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro Mh Juma Nondo Kushoto Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro Mh Romuli John



Wakazi wa Kata ya Tungi waliojitokeza kwa Wingi 
 Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro Mh Romuli John Akizungumza Leo Wakati wa Uzinduzi wa Kampeni za Udiwani Kta ya Tungi manispaa ya Morogoro 
 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Abdulaziz Mohamed Abood Akizungumza leo katika kata ya Tungi wakati wa Uzinduzi wa Kmpeni za Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kata ya Tungi Manispaa ya Morogoro

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jaza Akiwa na Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki Mh Lucy Nkya wakati wa Uzinduzi wa Kmpeni za Udiwani kata ya Tungi
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro Na Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh Innocent  Kalogeris Akimnadi Mgombea wa Udiwani Kata ya Tungi manispaa ya Morogoro Kupitia CCM Ndugu Mzeru Paulo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...