Ijumaa, 2 Agosti 2013

WAZIRI MKUU WA THAILAND AONDOKA BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA YA SIKU TATU NCHINI

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Waziri Mkuu wa Thailand kwa maafisa waandamizi mbalimbali wa serikali wakati wa kumsindikiza mgeni huyo aliyehitimisha ziara yake rasmi ya siku tatu nchini mchana huu. Hapo akipeana mkono na Mkumbwa Ally wa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa
 Akisalimiana na Dr Laurent Ndumbaro
 Akisalimiana na Dr Hamisi Mwinyimvua
 Akisalimiana na Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia Bw. Omar Mjenga
 Akiagana na Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia Balozi Mbelwa Kairuki
 Akiagana na Kamanda wa Mkoa maalumu wa kipolisi wa Dar es salaam Suleiman Kova.PICHA NA IKULU.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...