Jumatano, 26 Februari 2014

TAARIFA KAMILI SAKATA LA MADIWANI WA CHADEMA KUJIUZULU SHINYANGA

Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinaynga kimepata pigo kubwa baada ya madiwani wake wawili katika manispaa ya Shinyanga kutangaza kujiuzulu nyadhifa zao kutokana na madai kuwa  viongozi ngazi ya taifa  wa chama hicho kundekeza  majungu,migogoro ,kudhalilisha baadhi ya viongozi  pamoja na  kuwapa majina ya wasaliti wa chama.
Madiwani  waliofikia maamuzi hayo magumu ni diwani wa Kata ya Ngokolo Sebastian Peter maarufu OBAMA WA NGOKOLO na Zacharia Mfuko wa kata ya Masekelo  ambao wamesema wameamua kufikia maamuzi hayo magumu kama ishara ya kuwajibika kwa niaba ya makosa yaliyofanywa na viongozi wa chama hicho kitaifa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...