Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara John Tupa
baada ya kuwasili nyumbani kwake wilayani Kilosa mkoani Morogoro Tayari
kwa mazishi.
Waziri mkuu Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza la mwili wa marehemu Tupa nyumbani kwake Kilosa.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye pia ni mwenyekiti wa wakuu wa mikoa nchini
Abas Kandoro akitia saini katika kitabu cha wageni nyumbani kwa
marehemu Tupa.
Makamo wa Rais Gharibu Bilali akitoa heshima za mwisho kwa alieyekuwa
Rc mara mara baada ya kumalizika kwa ibada takatifu nyumbani kwake
Kilosa.
Makamo wa Rais Dk Bilali akisalimiana na askofu wa jimbo katoriki la Morogoro Telesphori Mkunde katika ibada ya mazishi.
Familia ya Marehemu Tupa wakisikiliza ibada ya misa ya mazishi ya mpendwa wao Tupa.
Watoto wa Marehemu tupa wakisindikizwa kuaga mwili wa marehemu baba yao.
Mjane wa marehemu Tupa Akiaga mwili wa mumewe mara baada ya kumalizika ibada nyumbani kwao Kilosa.
Waziri mkuu Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Tupa
katibu mkuu wa UWT Amina Makilaki akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza la RC Tupa
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro Inocent karogeries akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza la mwili wa marehemu Tupa
katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Rojas Romul akiwa katika foleni ya kwenda kuaga mwili wa marehemu Tupa.
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu , Ana Tibaijuka na mkuu wa mkoa
wa tabora fatuma Mwasa wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Tupa.
Mwenyekiti wa wazazi mkoa wa Morogoro Mecktridic Mdaku a na Juliana
mwenda mjumbe wa kamati wa Siasa ya mkoa wa Morogoro wakitoa heshima za
mwishi kwenye jeneza la mwili wa marehemu Tuapa.
IGP msataafu Omary mahita akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Tupa
Mkuu wa wilaya ya Tanga Halima Dendego akitoa heshima za mwisho
mwenyekiti wa CCM wilaya ya Morogoro Fikiri Juma akitoa heshima za mwisho
Viongozi wa CCM mkoa wa Morogoro wakitoa heshima za mwisho
Mke wa marehemu akisindikizwa kuaga mwili wa mume wake marehemu Tupa
Mke wa marehemu Tupa akitoa heshima za mwisho
Viongozi mbalimbali wa mkoa wa Morogoro na mikoa mingine waliohudhuria
mazishi hayo wakifutilia ibada ya misa takatifu ya kumwombea marehemu
Tupa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni