Jumatatu, 3 Juni 2013

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA JOPO LA WATAFITI WA MASUALA YA UCHUMI AFRIKA, JIJINI ARUSHA

3Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA) Terezya Huvisa, akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais kufungua mkutano huo.4Baadhi ya washiriki wa mkutano huo waliohudhuria wakimsikiliza Makamu wa Rais.05Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mtafiti wa Kisayansi Kutoka Mpango wa Pamoja unaohusu Sera za Kisayansi na Mabadiliko ya Tabianchi, Keneth Strzepek (kulia) na Mtafiti Mwandamizi wa Kisayansi,Adam Schlosser (katikati) baada ya kufungua rasmi Mkutano wa Jopo la Watafiti wa Masuala ya Uchumi Afrika (AERC) kujadili athari za Mazingira kwa Maendeleo ya Bara la Afrika, uliofanyika Jijini Arusha jana Juni 02, 2013. Picha na OMR5Baadhi ya washiriki wa mkutano huo waliohudhuria wakimsikiliza Makamu wa Rais.6Baadhi ya washiriki wa mkutano huo waliohudhuria wakimsikiliza Makamu wa Rais.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...