
Ndugu Abdurahman Kinana akisalimiana na wananchi mbalimbali 

Ndugu Abdurahman Kinana akiongea na wananchi katika eneo la Nanenane mjini Morogoro. 

Msafara ukiongozwa na mapikipiki kuelekea mjini Morogoro 

Msafara ukiongozwa na mapikipiki kuelekea mjini Morogoro 

Msafari unaingia mitaa ya Morogoro mjini 

Katibu
Mkuu wa CCM Abdurahman Kinana akiwasili katika ofisi za CCM mkoa wa Dar
es salaam kushoto ni Mohamed Seif Khatib Katibu wa NEC Oganizesheni

Ndugu Abdurahman Kinana akiongea na wananchi mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM Mkoa. 

Ndugu Abdurahman Kinana akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za CCM mkoa wa Morogoro. 

Mbunge wa
Morogoro Mjini Mohamed Abood kushoto akiongea na Mbunge wa Morogoro
Kusini Mashariki Lucy Nkya kulia na katikati ni Sara Msafiri Mbunge wa
viti maalum vijana Taifa

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni