Jumapili, 21 Aprili 2013

KINANA AKUTANA NA CHIFU KINGALU


Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza Chifu Kingaru,wakati wa kupokea  zawadi za kimila kutoka kwa Chifu huyo wa 14 katika kijiji cha Mkuyuni.

Katibu Mkuu wa CCM ,Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa shukrani zake kwa Chifu Kingaru wa 14.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...