Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akisalimiana na Mzee Issa Suleiman Issa katika nyumba ya kiasili iliojengwa kwa makuti ya Kumba ikiwa ni ishara ya Ufunguzi wa Tamasha la Urithi la watu wa Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja.
PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni