Jumamosi, 1 Juni 2013

Waziri Mkuu Pinda akagua Ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni jimboni kwake Katavi.

IMG_0241
Pichani juu na chini  ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikagua ujenzi wa Shule ya Msingi ya kakuni katika kijiji cha Kibaoni wilayani Mlele ambayo ujenzi wake unasimamiwa kwa karibu sana na yeye mwenyewe leo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
IMG_0267
IMG_0235
 Wakazi wa kijiji cha Kibaoni wilayani wilayani Mlelele, Katavi wa wakisafirisha mazao kwa kutumia wanayama kazi kijijini kwao.
IMG_0305
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Bibi Marietha  Mkata wa kijiji cha  Kibaoni  wilayani Mlele wakati alipomtembelea Bibi huyo nyumbani kwake. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0299

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...