Jumamosi, 6 Julai 2013

HUDUMA NA BIDHAA ZITOLEWAZO NA TTCL ZAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA SABASABA

IMG_0095Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akimsikiliza Afisa Biashara wa Mkongo wa Taifa Bw. Thomas Lemunge wakati alipotembelea banda hilo.IMG_0039Baadhi ya wafanyakazi wa TTCL wakati wa Ufunguzi rasmi wa maonesho ya 37 .
IMG_9272 (2)Mfalme Mswati III na Waziri Mkuu mhe. Mizengo Pinda wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Idara ya Huduma na Bidhaa zitolewazo na TTCL Bw. Ernest Isaya wakati walipotembelea katika banda hilo.IMG_0081Meya wa Manispaa ya Ilala Mhe. Jerry Silaa akisaini kitabu cha wageni baada ya kupata maelezo ya kina kuhusu Mkongo wa Taifa unavyosaidia kurahisisha biashara kwa njia ya mtandao, elimu-mtandao, matibabu-mtandao pamoja na kuunganisha n.k
IMG_0192Banda la kampuni ya simu ya TTCL kwenye viwanja wa vya maonyesho ya biashara ya TANTRADE.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...