Ijumaa, 24 Januari 2014

DARAJA LA DUMILA LAANZA KUTUMIKA, MAWASILIANO DODOMA NA MORO YAREJEA

 Waziri wa ujenzi John Magufuli akiruhusu  Lori la kwanza kupita katika daraja la Dumila wilayani Kilosa  baada ya mainjinia wa wizara hiyo kukesha  usiku kucha kutengeneza daraja hilo.
 Waziri Magufuli bakitoa maagizo katika daraja hilo.
 Magufuli akihimiza kukamilika kwa kazi ya daraja hilo ili magari yaweze kupita.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...