Alhamisi, 31 Oktoba 2013

BALOZI SEPETU AMEZIKWA ZANZIBAR JANA.

TA1A0959Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein.akisalimiana na Padri wa Kanisa Katoliki la
Minara miwili Mjini Zanzibar Cosmas Amani Shayo,  alipowasili katika
eneo la Mazishi ya Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,yaliyofanyika
kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi Unguja jana.[Picha na
Ramadhan Othman Ikulu.]
TA1A0962Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa na viongozi wengine akiwemo Makamo wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK.Mohamed Gharib Bilali,katika
Mazishi ya Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,yaliyofanyika kijijini
kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman
Ikulu.]
TA1A0963Jeneza la Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,likiwa
limebebwa na Askari Polisi na kulifikisha katika kaburi lake
yalipofanyika mazishi kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi
Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
TA1A0967Padri wa Kanisa Katoliki la  Minara miwili Mjini
Zanzibar Cosmas Amani Shayo, akiuombea mwili wa marehemu Balozi Issac
Abraham Sepetu,wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwao
Mbuzini Wilaya ya  Magharibi Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman
Ikulu.]
TA1A0971Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Balozi Issac Abraham

Sepetu,ukitemshwa katika kaburi wakati wa mazishi yake yaliyofanyika
kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi Unguja jana.[Picha na
Ramadhan Othman Ikulu.]

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...