Jumapili, 21 Aprili 2013

ZIARA YA KINANA MOROGORO VIJIJINI YAFUNIKA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo ya shamba darasa ambapo wanakijiji wanapewa mafunzo ya kufuga na kulima kwa kisasa.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akisoma baadhi ya kero za wananchi wa kata ya Kiroka,Morogoro vijijini.


Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahaman Kinana akishiriki ujenzi wa kituo cha afya cha Mkuyuni.
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na wananchi wa Mkuyuni.


Katibu Mkuu wa CCM Taifa,Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Kijiji cha Mkuyuni,ambapo ujenzi wa Soko jipya na kituo cha Afya vinaenda sambamba,ikiwa ni moja ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.


Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza Chifu Kingaru,wakati wa kupokea  zawadi za kimila kutoka kwa Chifu huyo wa 14 katika kijiji cha Mkuyuni.


Katibu Mkuu wa CCM ,Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa shukrani zake kwa Chifu Kingaru wa 14.


Katibu Mkuu wa CCM ,Ndugu Abdulrahman Kinana akiongoza wananchi wa Morogoro Vijijini  kwenda kuangalia maendeleo ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM.


Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na kijana wa Kimasai kwenye viwanja vya shule ya msingi ya Mvuha,Morogoro Vijijini.


Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa kijiji cha Mvuha ,Morogoro  Vijijini, tarehe 20 April 2013.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...