Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi anayeshuhulikia
mashirikiano ya nchi mbili wa Denmark Charlotte Slente,alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar leo mchana akiwa na ujumbe aliofuatana
nao,akiwemo Balozi wa Denmark nchini Johnny Flento,(hayupo pichani)
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi anayeshuhulikia
Mashirikiano ya nchi mbili wa Denmark Charlotte Slente,alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar leo mchana akiwa na ujumbe aliofuatana
nao,akiwemo Balozi wa Denmark nchini Johnny Flento,(kushoto) [Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi anayeshuhulikia
mashirikiano ya nchi mbili wa Denmark Charlotte Slente,alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar leo mchana baada ya mazungumzo yaliyofanyika
Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi anayeshuhulikia
mashirikiano ya nchi mbili wa Denmark Charlotte Slente,alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar leo mchana akiwa na ujumbe aliofuatana
nao,akiwemo Balozi wa Denmark nchini Johnny Flento,(hayupo pichani)
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi anayeshuhulikia
Mashirikiano ya nchi mbili wa Denmark Charlotte Slente,alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar leo mchana akiwa na ujumbe aliofuatana
nao,akiwemo Balozi wa Denmark nchini Johnny Flento,(kushoto) [Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi anayeshuhulikia
mashirikiano ya nchi mbili wa Denmark Charlotte Slente,alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar leo mchana baada ya mazungumzo yaliyofanyika
Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni