ccmmorogoro

Kurasa

  • HOME
  • UVCCM
  • UWT
  • WAZAZI
  • WABUNGE
  • MAWASILANO
  • WAASISI/CCM
  • VIONGOZI MORO

Jumatano, 22 Mei 2013

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

IMG_1585 
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara  akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango  Gasper Mwembezi  wa wizara hiyo.IMG_1596 
Mbunge wa Kawe Mhe. Halima Mdee (CHADEMA ),pamoja na Mhe. Ester Bulaya (Viti Maalumu-CCM)) wakiingia bungeni leo.IMG_1604 
Waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na Manaibu Waziri kutoka Wizara mbalimbali wakisikiliza michango ya wabunge wakati wa kujadili bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na MichezoIMG_1625 
Naibu Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Mhe. Adam Malima akijibu  maswali ya wabunge bungeni leo.IMG_1656 
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Mhe. wasira akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo leo.IMG_3844 
Mhe. Michael Leizer (Longido),Mhe.Rita Kabati (Viti maalumu CCM) na Mhe. Deogratius Ntumazina(Ngara) wakiingia bungeni leo.IMG_3920Wabunge wakitoka katika ukumbi wa bunge baada ya kipindi cha asubuhi kumalizika
Posted by Bila jina at 10:09
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mh Dr Jakaya Kikwete

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi
Mh Abdurahman Kinana

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini
Mh Innocent Kalogeris

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro
Mh Romuli John

Kumbukumbu la Blogu

Machapisho Maarufu

  • mwigulu nchemba afunga mafunzo ya uvccm-ruvuma,apanda mbegu ya uzalendo
    Kwa ukakamavu kijana wa CCM akimvisha kitambaa Mh.Mwigulu nchemba mara baada ya kuwasili kwenye kambi ya mafunzo ya vijana wa CCM-Namtumbo ...
  • ILO na TACAIDS waendesha Kongamano la kujadili mikakati ya kuwawezesha Wanawake, Wasichana na Wavulana Kiuchumi katika harakati za kupunguza hali hatarishi za maambukizi ya Virusi vya Ukimwi nchini.
        Mkurugenzi wa Shirika la Kazi Kanda ya Afrika Mashariki nchini Tanzania (ILO) Bw. Alexio Musindo amesema kupitia msaada kutoka Se...
  • WAZIRI MKUU WA THAILAND AONDOKA BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA YA SIKU TATU NCHINI
     Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Waziri Mkuu wa Thailand kwa maafisa waandamizi mbalimbali wa serikali wakati wa kumsindiki...
  • KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AZUNGUMZA NA WANANCHI KATA ZA UKWAMA NA INIHO MAKETE
      Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa kata ya Iniho Wilayani Makete wakati alipotembelea ...
  • TASWIRA ZAIDI YA ZIARA YA KATIBU MKUU GAIRO
  • WATOTO WA WAKIMBIZI WAMVAA WAZIRI WA ELIMU WA AFRIKA KUSINI MORO.
    Mkuu wa shirika lisilo la kiserikali  linalojishughulisha kuwezesha vijana kielimu na kiuchumi SOMAFCO , TLHOLO Mohlathe akimwonyesha N...
  • MGOGORO WA ARDHI WAZUKA TENA MVOMERO, VITISHO VYATAWALA , WANANCHI WAPORWA MASHAMBA NA KUPEWA VIGOGO
    Michael Mayalla mwenyekiti kitongoji cha Majichumvi akiongea katika mkutano wa pamoja na wananchi wa kitongoji hicho, waliokutana kuja...
  • WAJUMBE WA KAMATI ZA HESABU ZA SERIKALI WATAKIWA KUWA WADILIFU
    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amewataka wajumbe wa Kamati za Hesabu za Serikali kuwa waadilifu katika ...
  • GENERAL ELECTRIC AND SYMBION POWER TO HELP BOOST TANZANIA’S POWER SUPPLY
    ( 20th June, 2013 ):  General Electric and Sy mbion Power Tanzania Ltd. today signed a “Cooperation Agreement” with the objective of deve...
  • MKUTANO WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) GAIRO MOROGORO WATIKISA
      Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana  akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara jioni hii kwenye uwanja wa shule ya msingi Gairo B, ...

Orodha Yangu ya Blogu

  • JIACHIE
    JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA DAR ES SALAAM YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA KAZI ZA KIJAMII TEMEKE - Dar es Salaam 02 Februari, 2026 Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam leo tarehe 02 Februari, 2026, imeungana na wanaCCM n...
    Dakika 15 zilizopita
  • CCM Blog
    MATUKIO YA WABUNGE BUNGENI DODOMA LEO - Wabunge wakiwa viwanja vya Bunge tayari kuwahi kuingia bungeni katika mkutano wa pili, kikao cha tano leo Februari 2, 2026. IMEAND...
    Saa 8 zilizopita
  • JUMA MTANDA
    MAISHA YA MWANASOKA HODARI, PELE NA MAISHA NJE YA SOKA YANASIKITISHA ! - Na Geofrey Chambua. Kwa watu wengi, Pele ni mchezaji bora zaidi kuwahi kushuhudiwa katika uwanja wa kandanda, na siyo bure kwamba walimpa jina la utani ka...
    Miaka 7 iliyopita
  • AUDIFACE JACKSON - OFFICIAL BLOG
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 7 iliyopita
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync - How many times have you wanted to plug your iPad into your computer to charge but you didn’t want to deal with the interruption that syncing causes to wh...
    Miaka 9 iliyopita
  • INNOCENT KALOGERIS
    CCM YAMTEUA RIDHIWAN KIKWETE KUWA MGOMBEA JIMBO LA CHALINZE - [image: cccm_7bdac.png]
    Miaka 11 iliyopita
  • Nkoromo Blog
    -

Wachangiaji

  • Jason
  • Unknown
  • ccmmorogoro
AJ IT DEVELOPMENT .CO.LTD. Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.