Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango Gasper Mwembezi wa wizara hiyo.
Mbunge wa Kawe Mhe. Halima Mdee (CHADEMA ),pamoja na Mhe. Ester Bulaya (Viti Maalumu-CCM)) wakiingia bungeni leo.
Waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na Manaibu Waziri kutoka Wizara mbalimbali wakisikiliza michango ya wabunge wakati wa kujadili bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo
Naibu Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Mhe. Adam Malima akijibu maswali ya wabunge bungeni leo.
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Mhe. wasira akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo leo.
Mhe. Michael Leizer (Longido),Mhe.Rita Kabati (Viti maalumu CCM) na Mhe. Deogratius Ntumazina(Ngara) wakiingia bungeni leo.Wabunge wakitoka katika ukumbi wa bunge baada ya kipindi cha asubuhi kumalizika
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni