ccmmorogoro

Kurasa

  • HOME
  • UVCCM
  • UWT
  • WAZAZI
  • WABUNGE
  • MAWASILANO
  • WAASISI/CCM
  • VIONGOZI MORO

Jumatano, 22 Mei 2013

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

IMG_1585 
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara  akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango  Gasper Mwembezi  wa wizara hiyo.IMG_1596 
Mbunge wa Kawe Mhe. Halima Mdee (CHADEMA ),pamoja na Mhe. Ester Bulaya (Viti Maalumu-CCM)) wakiingia bungeni leo.IMG_1604 
Waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na Manaibu Waziri kutoka Wizara mbalimbali wakisikiliza michango ya wabunge wakati wa kujadili bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na MichezoIMG_1625 
Naibu Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Mhe. Adam Malima akijibu  maswali ya wabunge bungeni leo.IMG_1656 
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Mhe. wasira akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo leo.IMG_3844 
Mhe. Michael Leizer (Longido),Mhe.Rita Kabati (Viti maalumu CCM) na Mhe. Deogratius Ntumazina(Ngara) wakiingia bungeni leo.IMG_3920Wabunge wakitoka katika ukumbi wa bunge baada ya kipindi cha asubuhi kumalizika
Posted by Bila jina at 10:09
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mh Dr Jakaya Kikwete

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi
Mh Abdurahman Kinana

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Morogoro Na Mbunge Wa Morogoro Kusini
Mh Innocent Kalogeris

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro
Mh Romuli John

Kumbukumbu la Blogu

Machapisho Maarufu

  • Rais Dk. Shein azindua Kikwajuni Saccos Bank
      Mbunge wa Kikwajuni, Hamad Yusuf Masauni (kulia), akizungumza na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Paramukh Sing Hoogan wakat...
  • ZIARA YA KINANA MKOA WA NJOMBE ILIVYOWAVUTA CHADEMA
      Kijana wa Chadema akishiriki shughuli za CCM Ludewa.   CCM Oyee! Kijana wa Chadema nae akanyoosha mikono. Kijana wa Chade...
  • MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA RC MARA LEO NYUMBANI KWAKE KILOSA
     Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara John Tupa baada ya kuwasili nyumbani kwake wilayani Kilosa mkoani Mor...
  • MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA JOPO LA WATAFITI WA MASUALA YA UCHUMI AFRIKA, JIJINI ARUSHA
    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Mkutano wa Jopo...
  • TASWIRA YA ZIARA YA KINANA MOROGORO MJINI
     Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa nyumba kumi wa CCM wilaya ya Morogoro mjini, akiwa pamoja na ...
  • Ban Ki Moon ampongeza Rais Kikwete kuhusu njia mpya ya kuleta amani DRC.
     Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Mh. Ban Ki Moon akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. (Picha...
  • WAZIRI MKUU PINDA AZINDUA SHEREHE ZA UTAMADUNI WA WASUKUMA JIJINI MWANZA
    Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ,Askofu wa Jimbo Kuu la Mwanza Yuda Thadei Ruwaichi (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Evarest Nd...
  • WAZIRI MKUU AWAHAKIKISHIA WAHANGA WA MAFURIKO UHAKIKA WA DAWA NA CHAKULA
     Waziri mkuu Mizengo Pinda akitembelea eneo la Dumila ambako daraja limekatika na kusababisha kukosekana kwa mawasiliano  kati ya Dodoma ...
  • MVOMERO WATISHIANA KUBAMBIKIZIANA KESI
    MWENYEKITI wa Halmashauri ya wilaya ya Mvomero Jonas Zee Land amelalamikia kutishiwa   na baadhi ya wanasiasa katika wilaya hiyo kuwa...
  • MAKAMU WA RAIS DKT. BILLAL AONGOZA KILELE CHA SIKU YA MAZINGIRA KITAIFA NAMANYERE MKOANI RUKWA
    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Billal akihutubia wananchi katika viwanja vya sabasaba Mji ...

Orodha Yangu ya Blogu

  • JIACHIE
    Jukwaa la Kitaifa la Wadau wa Uongozi na Usimamizi wa Elimu lazinduliwa - Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Omar akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa...
    Dakika 12 zilizopita
  • CCM Blog
    HANANG 'YATAPIKA KAMPENI ZA DKT. SAMIA' - Ni umati wa wananchi wa Kateshi mkoani Manyara waliojitokeza kwa ajili ya kuja kumlaki, kumsikiliza na kuahidi kumpa kura zake Mgombea wa nafasi ya Rais ...
    Saa 5 zilizopita
  • JUMA MTANDA
    MAISHA YA MWANASOKA HODARI, PELE NA MAISHA NJE YA SOKA YANASIKITISHA ! - Na Geofrey Chambua. Kwa watu wengi, Pele ni mchezaji bora zaidi kuwahi kushuhudiwa katika uwanja wa kandanda, na siyo bure kwamba walimpa jina la utani ka...
    Miaka 7 iliyopita
  • AUDIFACE JACKSON - OFFICIAL BLOG
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 7 iliyopita
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync - How many times have you wanted to plug your iPad into your computer to charge but you didn’t want to deal with the interruption that syncing causes to wh...
    Miaka 9 iliyopita
  • INNOCENT KALOGERIS
    CCM YAMTEUA RIDHIWAN KIKWETE KUWA MGOMBEA JIMBO LA CHALINZE - [image: cccm_7bdac.png]
    Miaka 11 iliyopita
  • Nkoromo Blog
    -

Wachangiaji

  • Jason
  • Unknown
  • ccmmorogoro
AJ IT DEVELOPMENT .CO.LTD. Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.