KINANA ATOA ONYO KWA VIONGOZI WASIOWAJIBIKA ,MKUTANO WAKE WATIKISA WENGI CHADEMA WAJIUNGA CCM ,KINANA NA NAPE WATOA MSAADA WA MAMILIONI YA KUANZISHA SACCOS....
Katibu mkuu wa CCM Abdulahaman Kinana (kushoto) na katibu wa idara ya itikadi na uenezi wa CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye wakishiriki ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Samaria wilaya ya Wanging'ombe ,viongozi hao walisimama eneo hilo kushiriki ujenzi huo baada ya kuwakuta wananchi wakishiriki maendeleo ya ujenzi huo
msafara wa katibu mkuu wa CCM
katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa Nape Nnauye akiwahutubia maelfu ya wananchi wa kitongoji cha Malangali wilaya ya Wanging'ombe
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni