Mzee ambae jina lake halikuweza kupatikana akiungana na wafuasi wa Chadema waliohamia CCM kula kiapo cha utii
Umati mkubwa wa wananchi wa kitongoji cha Mlangali |
CCM chazidi kujitika kwa wananchi wa chini zaidi ni dalili za ushindi 2015
Nape akiwashukuru wananchi kwa kuendelea kujiunga na CCM na kukimbia vyama vya upinzani
Kada wa Chadema akionyesha kadi yake ya Chadema baada ya kutangaza kujiunga na CCM mbele ya katibu mkuu wa CCM Taifa
Wananchi wakimpokea katibu mkuu wa CCM Taifa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni