Jumatano, 19 Machi 2014

ATHARI ZA MGOMO WA DALADALA MANISPAA YA MOROGORO

Wanafunzi wa shule mbalimbali za Manispaa ya Morogoro wakisubiri usafiri wa kwenda shule bila mafanikio katika kituo cha mabasi kilichopo Mkoani Morogoro.

Wanafunzi wa shule mbalimbali za Manispaa ya Morogoro wakiwa kwenye lori baada ya mgomo wa madereva daladala leo.
Wanafunzi wa shule mbalimbali za Manispaa ya Morogoro wakisubiri usafiri wa kwenda shule bila mafanikio katika kituo cha mabasi kilichopo Mkoani Morogoro.
.Baadhi ya wanafunzi wakishuka baada ya kufika wanapoelekea.
(Picha zote na Dustan Shekidele / GPL, MOROGORO)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...