Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akivishwa shada la Mauwa na Mtoto Salma Issa Ali hapo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar mara baada ya kurejea nchini akitokea China kwa Ziara ya kiserikali.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akivishwa Shada la mauwa na Mtoto Salma Issa Ali hapo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar mara baada ya kurejea nchini akitokea China kwa Ziara ya kiserikali.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akisalimiana na Viongozi mbalimbali waliofika kumpokea hapo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar mara baada ya kuwasili akitokea nchini China kwa Ziara ya Kiserikali.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akisalimiana na Viongozi mbalimbali waliofika kumpokea hapo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar mara baada ya kuwasili akitokea nchini China kwa Ziara ya Kiserikali.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni