Kurasa
HOME
UVCCM
UWT
WAZAZI
WABUNGE
MAWASILANO
WAASISI/CCM
VIONGOZI MORO
Jumatano, 26 Juni 2013
WAZIRI MKUU MHE. PINDA NA MATUKIO BUNGENI MJINI DODOMA
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na washereheshaji (MAMC) wanawake kwenye viwanja vya bunge Mjini Dodoma Juni 25, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
m
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wazee kutoka Kata ya Murangi wilaya ya Butiama Bungeni Mjini Dodoma Juni 25, 2013. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, mizengo Pinda akizungumza na wazee kutoka Katayamurangi wilayani Butiama, bungeni mjini Dodoma Juni 25, 2013. (picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wazee kutoka Kata ya Murangi wilaya ya Butiama Bungeni Mjini Dodoma Juni 25, 2013. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa zamani wa Bariadi Mashariki, Isaac Cheyo kwenye jengo la utawala la bunge Mjini Dododma Juni 25, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni