Angalia Picha Sitta achukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Bunge la Katiba
Mgombea Uenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akipokea Fomu kutoka kwa Ofisa wa Bunge Bi. Lidya Mwaipyana. Katikati ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangala.ZINAENDELEA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni