Jumatano, 16 Julai 2014

MEYA MANISPAA YA MORO, ATAHADHARISHA WANAOKAIDI KUBOMOA MAJENGO YAO KATIKA HIFADHI ZA BARABARA

 

 Meya wa Mansipaa ya Morogoro Amiri Nondo akikagua baadhi ya maeneo yaliovunjwa kwaajili ya kupisha ujenzi wa barabara ya Kitope katika manispaa hiyo.
 Meya huyo akizungumza na wananchi katika eneo la Maont Uluguru Hoteli .
 Meya huyo akiangali amaeno ambayo tayari wafanyabiashara walivunja kwa hiari bila shuruti kupisha ujenzi huo wa barabara.
 Meya huyo akiwa katika moja ya barabara zinazotengenezwa  akikagua ujenzi huo.
 Meya Nondo alipofika eneo la jirani na Hotel  Ya Maunti Uluguru akiwaambia wafanyabiashara hao waondoke eneo hilo na ku hamia Fire.
 Meya akizungumza na wajumbe wa kamati ya fedha katika ukumbi wa manispaa ya Morogoro juu ya ziara hiyo.
 meya akiwa katika eneo la hoteli ya Maunti Uluguru ambapo mmiliki wake  hadi sasa hajabomoa kupisha barabara hiyombali na kuwekewa alama nyekundu kama inavyoonekana.
Meya Nondo alipokutana na baba huyo kijana ambaye ameamua kulea mtoto wake wakati mkewe akiwa kazini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...