Kurasa
HOME
UVCCM
UWT
WAZAZI
WABUNGE
MAWASILANO
WAASISI/CCM
VIONGOZI MORO
Jumatatu, 19 Agosti 2013
DK SHEIN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI MAALUM ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapiunduzi,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi wa Chama alipowasili katika viwanja vya Ofisi ya CCM Kisiwandui, kushiriki katika Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu CCM Taifa,kilichofanyika leo Mjini
Zanzibar.{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapiunduzi,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein,akiendesha Mkutano wa Siku Moja wa Kamati Maalum ya Halmashauri
Kuu ya Taifa CCM,katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya CCM Kisiwandui
Mjini Zanzibar.{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni